Makapuku Forum

5/Johnny Depp Ana umribwa miaka 54
Jicho lake moja inadaiwa haoni yaani jamaa ni chongo
Jina lake halisi ni John Christopher Depp.....jamaa ni noma kwa kuchekesha nafikiri kila mtu anamjua
Kacheza filamu kibao zilizovuma ikiwemo ya Edward Scissorhands zingine zitaje mwenyewe
Jamaa ni tairi wa kurleweka

Inadaiwa ana utajiri wa USD 450 Milioni
.....
 
TOP TEN MSHTUKO.

Kila ijumaa ya kwanza ya mwezi August huwa siku ya beer ya kimataifa. Hii siku imeanza kusherekewa tokea mwaka 2007 kwa kutambua mchango wa watumiaji wa beer katika uchumi wa dunia.

Kufikia mwaka 2020 mauzo ya beer yanategemewa kufikia usd 688.4 billion sawa na Tsh. 1,535,132,000,000,000.00, yaani zaidi ya trilion Elfu Moja na miatano.

sasa leo kwa mshtuko naleta zile beer 10 bora, je kama wewe ni mdau beer yako imetokea? most selling beer in the world.
 
4/Tyler Perry Ana umri wa miaka 47
Ni Mmarekani alizaliwa na mama mlokole hivyo kila wiki alipelekwa kanisani atake asitake....baba yake alikuwa no findi seremala
Huyu jamaa kapiga pesa ndefu kupitia filamu na ishu zake zingine

Anakadiriwa kuwa na mkwanja wa USD 470 Milioni
.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…