Msalimie dada jamaan babuHahaha
Asprin ukuje hukuu
Leo katika Historia
1821 - Louis Vuitton anazaliwa.
Ni mbunifu wa mavazi toka nchini Ufaransa.
Njema za siku dadakeKaka za kwako
Salama kaka akee za huko ulipoNjema za siku dadake
Huku njema sana nilimuuliza sakayo Jana kasema upo kwakoSalama kaka akee za huko ulipo
Ooh ni kweli kakaHuku njema sana nilimuuliza sakayo Jana kasema upo kwako
Leo katika Historia
1900 - Mama yake na Malkia Elizabeth wa Uingereza anazaliwa.
Alijulikana kama " Queen Elizabeth The Queen Mother "
Alifariki Dunia mwaka 2002.
Sawa dada habari ya kupambana na maishaOoh ni kweli kaka
Safi sana kakaSawa dada habari ya kupambana na maisha
Tumshukuru mungu kwa kutuwezesha na kutupa uzimaSafi sana kaka
Tumshukuru mungu kwa kutuwezesha na kutupa uzima
Pamoja sana dadakee
Leo katika Historia
1961 - Rais Barrack Obama anazaliwa.
Ni Rais wa 44 wa Marekani.
MmhJamaaaniii babu... Unataka nilie au
Amina....Heri walio masikini wa roho, maana ufalme wa mbinguni ni wao
Heri wenye huzuni maana hao watairithi nchi
Heri wenye njaa na kiu ya haki maana hao watashibishwa
Heri wenye rehema maana hao watapata rehema
Heri wenye moyo safi mana hao watamwona Mungu
Heri wapatanishi mana hao wataitwa wana wa Mungu
Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki maana ufalme wa mbingu ni wao
MATHAYO:5:3:10
Mbarikiwe sana muwe na asubuhi iliyo njema kwenu
Njema shemeji leo nipo natembelea mabanda ya nane naneNzuri shemeji, za Sugu city