1/
Dan Brown
Alizaliwa Agost/Juni 22 mwaka 1964
Huyu jamaa ni habari nyingine kabisa kwa utunI wa vitabu
Yaani jamaa anaandika sura fupifupi ila zenye utamu balaa(short chapters) na mpangilio wa kueleweka
Sacrilege ndo kitabu chake cha kueleweka zaidi
Ila kaandika vitabu kibao vya fiction kuhusu mauaji n.k
.
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane kesho
Mwisho
..........