Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
MmmmhUnataka nikufwe ghafla jamaan Baba DNakupenda kuliko ninavyojipenda mwenyewe
MmmmhUnataka nikufwe ghafla jamaan Baba DNakupenda kuliko ninavyojipenda mwenyewe
Mungu ni mwaminifuAmeeeen
Heheeeayooo ndo manenoooooo
Nipo juu ya mti shemelaPole shemela wangu kwa usumbufu wa net, kweli hapo upo juu ya mti![]()
![]()
mbona unanicheka sasaWako poa kabisa, vip D hajamboSafi shemela wangu mie za wewe mke mwee na kina jj wanaendeleaje
Ndioo mdogo wangu![]()
lollipop ipiiii hii ya pipi ya kijiti au
Kwema shemeji? Za miezi? Bro wangu Shedede una habari zake? Hata PM hajibu siku hizi.Shemeji shimba tell me something
AiseeeeAnalijua ila anahisi nimemdanganya..!
Sasa lee anapenda kuniita mike..
Mike anayoita lee sio mike ya michael..lee anaita mike ambayo ni jina linalotumika sana jeshini... hasa wakati wa mafunzo..
Btw , its too irrelevant
Anahusikaje hapoCley yuko wapiii
Nimefurahi kusikia upo juu ya mtiNipo juu ya mti shemelambona unanicheka sasa
NzezeBaba D me ni msambaa jamaan
Sauti ipiiiiii mmeanza mjueAimagin sauti
Fimbo auuuuzaidii ya kibokooooo
Sawa Dada hivi kama una vielement vya uaskari hivii au hujijuiHiyo mikwara ni yangu
AmenMambo ya Mungu haya shunie...
Na kila mwenye pumzi amtukuze Bwana Mungu.
Mama jamaanJumapili katoa like tu
Yeeeduuuunaonaa thatahaaa nakupendaaaa mpka nasahauuu usambaa wakoooo
sorry