Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Ewaaa...Umepatia... kumbe nilichokufundisha ulikishika sawia...
Nasubiria ntakapokupa funzo la kupika mtori...
Nasubiria hilo darasaa
Ewaaa...Umepatia... kumbe nilichokufundisha ulikishika sawia...
Nasubiria ntakapokupa funzo la kupika mtori...
Umechemka..Sawa babu akee.... Ngikukundi.... Sijui nimepatia


Hivyo eeehh... Nilitakiwa kusemaje sasaaa.....Umechemka..
Definetily kwa sababu halitoki moyoni
Mdogo wako yuko ushawasiliana naee?Shem akee
Nimewamisi wooote but esspicially mpendwa/mpenzi wangu na madengeee
Niko kwenye viporo waheshimiwa
Mbona moyo wangu unao jamaniiHapana...
Niletee moyo wako tuu
Abee