David James alikuwa vizuri
Anakamata # 4 kwa wachezaji waliocheza mechi nyingi EPL wa muda wote akiwa na mechi 472
:Ni kipa mzuri ila mara kibao alivurunda kwenye klabu na timu ya taifa na kuwapatia ushindi wapinzani
.....
Huyu na shunie sijui wamepanga ??Kilichonifanya nicheke ni jinsi ulivyokuja speed
Ngoja shunie ajeHuyu na shunie sijui wamepanga ??
Wanajuana hao achana nao ...Ngoja shunie aje
Wewe umeamkia kwake itakuwaNilipita kusalimia ....
Shuny hope nimetimiza
Leo katika Historia
1976 - Nwanko Kanu anazaliwa.
Nyota wa zamani wa mpira wa miguu toka nchini Nigeria aliwahi kutamba na timu za Ajax, Arsenal na Portsmouth.
Leo katika Historia.
1976 - Hasan Sas anazaliwa.
Nyota wa zamani wa mpira wa miguu toka Uturuki.
Ila alikuwa na blunder kama za Paul RobinsonDavid James alikuwa vizuri
Leo katika Historia
1978 - Junior Agogo anazaliwa.
Ni straika wa zamani wa Ghana.
Leo katika Historia
1984 - Bastian Schweinsteiger anazaliwa.
Ni kepteni wa zamani wa timu ya taifa ya Ujerumani na pia anacheza katika klabu ya Man United. (Sina hakika bado yupo man united)
Katika ubora wake alisifika zaidi kama Box to Box Midfielder yaani alikuwa na uwezo wa kukaba timu inaposhambuliwa na kushambulia pindi timu inaposhambulia.
Hivi bado yupo United kweli huyu??.
Ahsante mdauAhsanteni kwa kuwa nami, kwa udhamini mnono wa CHIA SEEDS sina la ziada kutoka kwa meza hii.
Kwaherini kutoka katika meza ya historia
Niite Jimena Jimenes
Jipatie Chia seeds sasa kwa afya bora wewe na familia yako!
AsanteeAhsante mdau
Uwe na siku njema
Tukutane Jioni/Usiku
.............
Ndio mimi mama D niite kama ulivyoambiwa
Nakusalimia Baba D jamanAsantee
Ndio nimeingia usiniambie umeshatokaShunie nimepita naoana hujafika
Nimemuona Baba DWakuu tuwekane sawa ...
Lyon lee na lee empire ni watu wawili tofauti lyon akiwa mdogo wake empire ...yaaan kaka na mdogo wake
Shunie chizi wako huyuu hapa....
Hakuna kuchanganywa majina tofautiMorning broo ...naona leo umeninyoosha
Utawachanganya watu humu....