Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Ngoja niwe mpole



ile last seen umeweka mwenyewe au umewekewa bila kujijua
Si unajua sipendiii kuzeeshwaaaHuo msemo wako una maana gani Baba D nipo poa hofu kwako tu Babu mzeewakungoa shikamoo

Karibu shemela, hujaona tu shemela mtu na mdogo wake walivyokuwa wanabishanaShemela nimeshakuja kuna nini jaman
Ahahahha najua huo msemo msimu huu lazima uwe mpole sababu ya baba d mdogo auSi unajua sipendiii kuzeeshwaaa![]()
![]()
![]()
Uko poa lakini shemela wangu wa ukweliShemela wangu mie
AmenDua yangu na ifike mbele zako, uniponye sawa sawa na ahadi yako, maana maagizo yako yote ni ya haki
Mkono wako na uwe na uwe tayari kunisaidia, maana nimeyachagua mausia yako![]()
ZABURI:119:170:171
Muwe na asubuhi njema mbarikiwe sana![]()
Nipo poa shemela wangu hofu kwako tu na kina jj na mama yaoUko poa lakini shemela wangu wa ukweli
Ahahaah ila avatar haibadilishwi shemelaKaribu shemela, hujaona tu shemela mtu na mdogo wake walivyokuwa wanabishana
Chezea mzee wa peremendeHuo msemo wako una maana gani Baba D nipo poa hofu kwako tu Babu mzeewakungoa shikamoo

Akikujibu nishitueAu wewe ndo umemuwekeaa ??
AiseeSi unajua sipendiii kuzeeshwaaa![]()
![]()
![]()
Haaaaahaaaa, Lee upoAhahahha najua huo msemo msimu huu lazima uwe mpole sababu ya baba d mdogo au
Kwa nini shemelaAhahaah ila avatar haibadilishwi shemela