Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20170801-WA0024.jpg
 
Katika dondoo za bbc. ..

- Mkurugenzi wa mawasiliano katika ikulu ya Marekani atimuliwa siku kumi tu baada ya kuanza kazi.

- Uchunguzi umeanzishwa kubaini kifo cha afisa wa tume ya uchaguzi Kenya.

- Burundi inasema utaratibu haikuzingatiwa iliponyimwa fursa kuandaa mkutano wa COMESA.

- Na je unawafahamu wagombea watatu wa urais katika uchaguzi unaowadia Rwanda?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom