Makapuku Forum

Makapuku Forum

b2894241a9531815426941966353a32a.jpg
Supu zinaendelea?
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha.... Hapa kwetu kuna jamaa aliandika gari yake 'babu kessy' na akawa kweli anaitwa babu kessy lakini umri wake ulikuwa haufiki miaka arobaini.... Sasa mimi nimefika na kupita si ni kibabu tu mimi Shunie.?
Kweli we ni babu na kama ile avatar unayoiweka umevaa miwani ndio wewe acha niendelee kukuita babu tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom