Makapuku Forum

Wazee wa assist
 
Hawa walikuwa na vipaji aisee
 
2/Ronde & Tiki Barber

Walizaliwa April 7 mwaka 1975 huko kwa Donald Trump au ukipenda sema ISA baby
Hawa ni wacheza mpira wa Marekani American Football
Ronde Barber anachezea Tampa Bay wakati Tiki anachezea New York Giants...
Wanafansna kama Rafael & Fabio Da Silva walipokuwa Manchester United na kuwachanganya makocha,marefa,wachezaji wenzao na mashabiki
Wakati wakichezea timu moja ilikuwa ni balaa kuwatofautisha

............
 
Aisee
 
Muziki: Wema na Ubaya, Cha Pili Kiache

Muda unakimbia sana Makapuku waheshimika, nani alijua kesho itakuwa ni Ijumaa! Ukisoma kiumakini utagundua kuwa sijauliza swali ila tu nimekuja kukusalimia wewe, yeah, wewe hapo unayenisoma muda huu. Pokea heshima nyingi sana usiku huu maana unastahili na stahili hii ni kwa sababu wewe unaunda timu inayoifanya KF iwe mahala pa kuvutia bila kutolewa mahari. Asante sana kwa kuwepo hapa.

Hivi kuna sababu yoyote ya kutofanya jambo zuri kwa mtu usiyefahamiana naye? Usiniambie kuwa dini zimetufundisha kuwa wema maana dini zetu hizi zina mazongo kibao, so weka pembeni jibu la dini yako jibu wewe kama wewe. Binafsi ninajiaminisha ukiwa mstaarabu (civility) huhitaji uijue dini ndo utende wema na uuchukie ubaya. Kuna bangi na bangili, hiyo ya kwanza inatibu sikio. Chukua hilo maana kubadilika ni tabia ya kila kiumbe hai. Hulazimishwi kubadilika, baki hivyo hivyo kama mother nature itakuruhusu.

Asanteni sana wadau mliotuamsha kwa magazeti, sala, BBC, kubwa 10, sogozi za mchana, michezo na zaidi asante kwa wageni waliotembelea hapa. Usijiulize mbona ninakaribisha sana kwani mimi ni nani hapa, mbona najidai kujua sana, well, la kwanza, mimi ni kama wewe tu, bando langu na kutaka kupata maarifa kwa kuwa hapa kunanifanya nije hapa na kuwaona wengine wakiwa hapa basi nawiwa kuwashukur maana maarifa yanaongezeka.

Muziki sasa, huwa nikimsikiliza nakumbuka mengi sana, mazuri na yenye utata ulionifanya nijiulize je hili nililolifanya (enzi hizo) ni sahihi. Hizi safari ziache tu na wengine tukiendaga ugenini lodging zina mapepo hatulali peke yetu, you know warra am saing'i. Ndivyo inavyokuwa na ndo unasema a blessing in disguise. Anaitwa Jose Chameleon, ana udokta wa heshima huyu kwa namna anavyotumia mali zake kusaidia wahitaji wanaomzunguka.
Burudika mdau

 
1/Ashley & Mary--Kate Olsen

Walizaliwa Juni 13 mwaka 1986 nchini Marekani
Hawa umaarufu wao inatokana na pesa walizonazo.....hawajafikisha hata miaka 35 lakini wana mkwanja mrefu wa kuweza kuwahonga hadi Sizonje na Bashite waamue kuuza nchi nzima ya Bongo na kutuacha wananchi tukipiga miayo
Wanatajwa kuwa wanawake matajiri # 10 duniani
Pia pengine ndo mapacha wenye mpunga mrefu zaidi duniani
Utajiri wao ni zaidi ya USD milioni 300
.
.
.
.
.
.
.
.

Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane kesho
Mwisho
..........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…