Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,047
Captain mwenyewe mimia apa shunie wa lee..sio vigezo tu, hata kipaji unacho na kwa kuwa uko determined kuingizwa basi naamini ukiingizwa utakazana kwa style zote ili kwenye timu upewe mkataba wa kudumu.
Shululu alikuwa anauliza eti captain nani, ukikazana vizuri utapewa ucaptain wa timu, tunakuita captainess

shemela hilo jibu la mondray ndio limenichekesha sana