Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Hiyo nyimbo ya kuzoea uke wenza siitaki binamu uke wenza hauzoeleki sawaAunt na wewe bhana, nyimbo nimegoma kuicheza maana sasa hivi mimi na wewe tuna makubaliano ya kutokwazana
Hiyo nyimbo ya kuzoea uke wenza siitaki binamu uke wenza hauzoeleki sawaAunt na wewe bhana, nyimbo nimegoma kuicheza maana sasa hivi mimi na wewe tuna makubaliano ya kutokwazana
Daah binamu asante aisee nilikua mdogo hii nyimbo jaman umenikumbusha mbali jaman
AsanteeUbarikiwe lee wa shunie![]()
Binamu kuniingiza niliyoongelea wewe umemaanisha ningizweje mana naona maelezo yako siyaelewi ujue me nataka kuingizwa kucheza netball sio ingizwa hiyo yako...sawa sawa itakuwa rahisi kukuingiza na akikuingiza inabidi ukazane kweli kweli vinginevyo ukichoka haraka anatafuta mchezaji mpya amsajiri, mpira ni biashara hii ndo kanuni ya timu ya anko
....enzi hizo unatembea kifua wazi mtaa mzima wanakujua ha ahahahahhaha, nguo ukiipenda ndo hiyo hiyo hutaki kuivua.








ChaguaaBinamu obe naruhisiwa kuchagua nyimbo
MakofiiiiSwadakta mdau, inawezekana nilielewa tofauti.
Michango ya member wa hapa haiji tu kwa kuwa mtu anataka kuandika, au aonekane kaandika.
Hata sentensi moja inayoeleweka ikiandikwa hapa hutokana na mtu kupata maarifa fulani na kisha kuyatumia kupitia ujuzi ili mwingine aelewe.
Hakuna kipya kinachoandikwa sasa, tunakuja na njia rahisi tu ya kueleweshana. Ndiyo maana unapoweka UF au zile kumi bora nia ni kufikisha maarifa kwa mwingine ambaye naye anagawa maarifa kwa namna yake. Hii ndiyo intelijensia.
Unapoandika kitu kieleweke lazima ufikiri (tasking the brain-reasoning) na hii ndo intelligence.
Binamu obe napenda nyimbo za huyu mama Mungu ampumzishe mahali pema jamaan whitney houston
Naomba nyimbo yake moja inaitwa my love is your love![]()
Tutagombanaa buree ...vyangu najua vimetimiaaAnko hunipendi?
Hujui viroba vimepigwa marufuku? hivi nilichukua ulivyoficha
Hii si tuliongeaa tuuChagua aunt maana anko tayri ukurasa wa mwanzo juu alikudedicatia wimbo unaitwa 'zoea ukewenza' kaimba mbaraka mwinshehe. Nimemgomea
Binamu kuniingiza niliyoongelea wewe umemaanisha ningizweje mana naona maelezo yako siyaelewi ujue me nataka kuingizwa kucheza netball sio ingizwa hiyo yako
Naomba kesho simu yangu ipelekwee uksiflashiiii emojii zirud...sawa sawa itakuwa rahisi kukuingiza na akikuingiza inabidi ukazane kweli kweli vinginevyo ukichoka haraka anatafuta mchezaji mpya amsajiri, mpira ni biashara hii ndo kanuni ya timu ya anko
Kwa ajilii ya nani vileeeBinamu obe napenda nyimbo za huyu mama Mungu ampumzishe mahali pema jamaan whitney houston![]()
Naomba nyimbo yake moja inaitwa my love is your love![]()
Nimeshachagua Baba DChaguaa
CuzooNimeshachagua Baba D
Acha binamu huyu mama jamaan anajua ukisikiliza nyimbo zake haziishi hamu nakumbuka kipindi nipo mdogo hii kuna aunty yangu enzi hizo hakunaga cd mambo ya cassette tu alikua na album nzima ya whitney houston sikumbuki jina kuna my love is your love, heart break hotel, i will always love u, daah na ile aliyoimba na mariah carey binamu niwekee asee hiyo nyimbo ngoja nitafute nyimbo zake huyu mama ziniliwaze tuEbhaneeee, WH ni kifaa kingine jamani, huyu dada alikuwa anajua kuimba yaani unasikiliza tu nyimbo unajua kabisa muziki huleta ashki bila ku-ask
Kwahiyo binamu ulimaanisha niingizwe niniiheeeh, usinijaze maneno ambayo sijaongea mimi. Umeongea kuingizwa kwenye timu, nikasema ndiyo anko atakuingiza bila shida kabisa maana timu ni yake na si ya mtu mwingine.
kwani wewe unadhani nilielewa tofauti jamani?
Kwa ajili ya Baba D wangu imfikie popote alipoKwa ajilii ya nani vileee

Cuzoo nipo hapaCuzoo