Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,565
Eeeh mkuu tena?Kwema mkuu karibu..
post using my macbook air using jamiiforums app
Bado kuna habari kinga haimalizi hamu, Bado kuna hatari mpenzi ukimwacha na hamu.
Eeeh mkuu tena?Kwema mkuu karibu..
post using my macbook air using jamiiforums app
Ameni mke mweee ubarikiweNitayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?
Msaada wangu u katika Bwana aliyezifanya mbingu na nchi
Asiuache mguu wako usogezwe asisinzie akulindaye.
Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi yeye aliye mlinzi wa Israel.
Bwana ndiye mlinzi wako, Bwana ni uvuli mkono wako wa kuume jua halitakupiga mchana wala mwezi wakati wa usiku.
Bwana atakulinda na mabaya yote atakulinda nafsi yako.
Bwana atakulinda utokapo na uingiapo Tangu sasa na na hata milele
Zaburi 121:1:8![]()
![]()
Muwe na mchana mwema mbarikiwe sana![]()
Poa mzima weyeMambo
post using my macbook air using jamiiforums app
Nambie hbr ya hapo bomaniShemejiiiiii
post using my macbook air using jamiiforums app
Utwa sikono lukoloMapembelo...
post using my macbook air using jamiiforums app
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
mguu wa shingo mguu wa roho....
post using my macbook air using jamiiforums app

Ni akina jj watoto wetu hao tuletee zawadi jamanihaya shemela
Hao mapacha vip
Cc.shululu
post using my macbook air using jamiiforums app
WoteObe au mie![]()
![]()
post using my macbook air using jamiiforums app
Bora kaka ake umeionaNapenda tende saana
Hiyo slogan yako hata sikushauri.. D😀
post using my macbook air using jamiiforums app
Yaani ukoo uliopo humu ndani ni hatari![]()
![]()
babu mwee
post using my macbook air using jamiiforums app
Wewe niite babu tu..... Hakuna babu mwee kwa sababu niko peke yangu.... Waliobaki humu wote ni vijana.![]()
![]()
![]()
sasa cjui nkuite baba mweee
Sawa babu nashukuruWewe niite babu tu..... Hakuna babu mwee kwa sababu niko peke yangu.... Waliobaki humu wote ni vijana.
Maisha yenyewe mafupiHahahaa wewe bana mbona me niko happy always!! Ila shunie alinifurahisha zaidi
Madame S
UsijaliSawa babu nashukuru
USA River ArachugaHahaha...h
Hapana nakitumia leo tu,kesho naenda tena USA
post using my macbook air using jamiiforums app
Kabisa umeongea vyemaMaisha yenyewe mafupi
Kununa ni kupoteza tym tu
....