Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
Maskini Jf !!!Watu wazima wanafanya mambo kama watoto kisa id fake waache wanyoshane mmbea huyo akomeshwe tu
Majukwaa yanazidi kushuka hadhi
[emoji117]Jukwaa la siasa upuuzi mtupu
[emoji117] Jf doctor&Law+ Educarion yapo kifo cha mende
[emoji117] Jamii Intelligence linapumulia mashine(watu wanaongea hadi mapenzi)
[emoji117] Jukwaa la Utanashati na mitindo nililikuta swaaf nikawa naabdika thread now lipo hoi
[emoji117] Chit chat nayo ishavamiwa unaweza kudhani watu ni matahira kwa jinsi wanavyopost makorokoro
[emoji117] Kuna mtu kalibinafsisha na watu wamemsusia aendelee kuliua
[emoji117] MMU lilishajifia now watu wanamalizia kulizika tu
Kiukweli Jf ya sasa imejaa vituko na ushamba na mashindano ya kijingajinga + watu kuzinguana
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.....
.......