Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Maskini Jf !!!Watu wazima wanafanya mambo kama watoto kisa id fake waache wanyoshane mmbea huyo akomeshwe tu
Majukwaa yanazidi kushuka hadhi
Jukwaa la siasa upuuzi mtupu
Jf doctor&Law+ Educarion yapo kifo cha mende
Jamii Intelligence linapumulia mashine(watu wanaongea hadi mapenzi)
Jukwaa la Utanashati na mitindo nililikuta swaaf nikawa naabdika thread now lipo hoi
Chit chat nayo ishavamiwa unaweza kudhani watu ni matahira kwa jinsi wanavyopost makorokoro
Kuna mtu kalibinafsisha na watu wamemsusia aendelee kuliua
MMU lilishajifia now watu wanamalizia kulizika tuKiukweli Jf ya sasa imejaa vituko na ushamba na mashindano ya kijingajinga + watu kuzinguana
.....
.......

