Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,047
Ndio usubili tukufungie
Watu wazima wanafanya mambo kama watoto kisa id fake waache wanyoshane mmbea huyo akomeshwe tuKuna dume limeshikwa umbea hadi huruma
Ndo maana huwa nasisitiza Makapuku tuheshimu PM na ya huko yaishie huko pia tusiwe na group la Whatsapp
![]()
![]()
![]()
......
.....
weee sawaaaaLol! mimi utanilaumu bure anko, na hili ndo shida yako, mimi nikikutetea unapofanyiwa fitna hunisikilizi unamuamini mtu ambaye sio mpwao kabisa.
siwezi kukuvunjia heshima wewe
ThanksBaba D hupatikaniki jamaan miss u moree my love![]()
Kweliiii
Tutabadilishanajeee walatii yako haina furooontiii kameraaa...ndo ujue ule ubingwa ulioufanya kwenye simu yangu umekurudia. ssasa inabidi uiuze ununue nyingine. Au tubadilishane sasa
Asantee mama watoto wa shululuPole shemela,karibu nyumbani
Ndo wakina naniiiUmewasahau akina jj nao hawajambo pamoja nasi
Shumie wa bitoz au
Jicho linaweza dondoka ujue![]()
![]()
post using my macbook air using jamiiforums app
Watoto wao Baba D shemela kawapa majina double j johson na jacksonNdo wakina naniii
Tooooobaaaaaa walahiiiiiii.Watoto wao Baba D shemela kawapa majina double j johson na jackson
Binamu naomba wimbo wa Angekuwepo wa Aslay ...maalum kkwa mke wangu mama D






Tooooobaaaaaa walahiiiiiii.
Mbona kama hayana ushirikiano





Baba D umeanza ujue hayana ushirikiano kwa nini