Makapuku Forum

Makapuku Forum

Zenj huku safi Tu karibu tende hapa nakula
1fbf60337370f804a7191d7773214455.jpg


Bado kuna habari kinga haimalizi hamu, Bado kuna hatari mpenzi ukimwacha na hamu.
Napenda tende saana

Hiyo slogan yako hata sikushauri.. D😀

post using my macbook air using jamiiforums app
 
Nitayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?
Msaada wangu u katika Bwana aliyezifanya mbingu na nchi

Asiuache mguu wako usogezwe asisinzie akulindaye.

Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi yeye aliye mlinzi wa Israel.

Bwana ndiye mlinzi wako, Bwana ni uvuli mkono wako wa kuume jua halitakupiga mchana wala mwezi wakati wa usiku.

Bwana atakulinda na mabaya yote atakulinda nafsi yako.
Bwana atakulinda utokapo na uingiapo Tangu sasa na na hata milele

Zaburi 121:1:8

Muwe na mchana mwema mbarikiwe sana
Barikiwa sana...

post using my macbook air using jamiiforums app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom