Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
jitahidi muzungu



nimecheka thana....
Rasi simba amechukua lugha yke


shem umeanza sasa
ShemejiiiiiiHaya shemela
Mapembelo...![]()
![]()
mwambie me napendlea kikinga,kisafwa na kinyaki Obe shahidi
Marahaba Mjukuu mweeShikamoo babu
Kwema mkuu karibu..
Ole wako cku nikijing'ata
mguu wa shingo mguu wa roho....
We jtahidi tu




haya shemela
Actuchanganye na lugha iliokuja na meli![]()
![]()
![]()



Obe au mieaongee kiswahili hatutaki sie
Vip mkuu...Kwema humu
Napenda tende saanaZenj huku safi Tu karibu tende hapa nakula![]()
Bado kuna habari kinga haimalizi hamu, Bado kuna hatari mpenzi ukimwacha na hamu.
Kweli mke mweeeaongee kiswahili hatutaki sie
Today is difficult, tomorrow is even more difficult, the day after tomorrow is so beautiful.
BUT MANY PEOPLE DIE TOMORROW EVENING.
Kwema,karibuKwema humu
Barikiwa sana...Nitayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?
Msaada wangu u katika Bwana aliyezifanya mbingu na nchi
Asiuache mguu wako usogezwe asisinzie akulindaye.
Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi yeye aliye mlinzi wa Israel.
Bwana ndiye mlinzi wako, Bwana ni uvuli mkono wako wa kuume jua halitakupiga mchana wala mwezi wakati wa usiku.
Bwana atakulinda na mabaya yote atakulinda nafsi yako.
Bwana atakulinda utokapo na uingiapo Tangu sasa na na hata milele
Zaburi 121:1:8![]()
![]()
Muwe na mchana mwema mbarikiwe sana![]()
ShukraniZenj huku safi Tu karibu tende hapa nakula![]()
Bado kuna habari kinga haimalizi hamu, Bado kuna hatari mpenzi ukimwacha na hamu.
Marahaba Mjukuu mwee
babu mweeUshamba wako huoZimenishinda hizo vitu