shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
Weeeeee, ungejua navyombembelezaga Husna huwezi amini, yaani nampenda hadi najihisi sikumaliza darasa la 7, nilikomea la nne

Weeeeee, ungejua navyombembelezaga Husna huwezi amini, yaani nampenda hadi najihisi sikumaliza darasa la 7, nilikomea la nne

Na binamu yangu

Lol! Nije mjini usijue dear, utani tu huo wanasema so unajua tena Mimi na wewe kuna wahenga hawatulii kabisa





Yeah,huko tunasikiliza radio kwizela tu kutoka kwa nkuruzinza....na kweli Husna wangu, yaani mwisho wa reli tena manyovu ndani
Niambie mama watoto wanguBaba huyooo
YaaapUmemuona eeeh

HaaaaahaaaaLol! Nije mjini usijue dear, utani tu huo wanasema so unajua tena Mimi na wewe kuna wahenga hawatulii kabisa
Nzuri kabisa shemela wa mimi apaSalama shemela wangu za wewe jaman
Atakuwa kaiweka makusudiHiyo signature vipi mpendwa wa binamu
Sema akiya Mungu binamu lini umeanza mambo ya kubembeleza jaman
D mzima sana baba yake simpati kwenye simu ujue na safari aliyoendaNzuri kabisa shemela wa mimi apa
D na baba yake hawajambo