Makapuku Forum

Makapuku Forum

TOP TEN
Baadaye nitabanwa hivyo nashusha mapema zen jioni kuchat nitaweza ila siyo kuweka mada labda tu Did U Know maana ni kutupia picha tu
Km kawa Ijumaa ndiyo kumi kubwa ya kumalizia wiki hivyo huwa tunaenda kiburudani zaidi
Leo tuangalie wasanii 10 wa muziki wa kufokafoka(hip hop) wenye mkwanja/mlunga mrefu size ya urefu wa treni
.......
 
10/Dwayne Michael Carter Jr
8e30dd29d888e6986b37d5f9e20f8386.jpg
5ff73d5f07da0b5492c2d091c29504a8.jpg
59f223b0df92ed07e2a4507d2bcc3890.jpg
Ana umri wa miaka 31
Anajulikana zaidi km Lil Wayne hakuna mtu anayefuatilia muziki wa mamtoni asiyemfahamu
Anaingiza mkwanja mrefu kutokana na kazi yake ya usanii pia anajishughulisha na biashara mbalimbali mfano mavazi n.k :
Anakadiriwa kuwa na utajoli wa USD 100 milioni
.........
 
TOP TEN
Baadaye nitabanwa hivyo nashusha mapema zen jioni kuchat nitaweza ila siyo kuweka mada labda tu Did U Know maana ni kutupia picha tu
Km kawa Ijumaa ndiyo kumi kubwa ya kumalizia wiki hivyo huwa tunaenda kiburudani zaidi
Leo tuangalie wasanii 10 wa muziki wa kufokafoka(hip hop) wenye mkwanja/mlunga mrefu size ya urefu wa treni
.......
Karibu
 
Kwa udhamini mnono kabisa wa Ximena's red Wine [emoji485] kuna sweet na dry pia, ambapo basi utajipatia red wine murua kabisa weekend hii iliyotengenezwa kwa pure zabibu.... Lita 1 kwa bei ya 12,000 tu na inapatikana kwa ujazo wa hadi lita 5
Leo katika historia haina la ziada! Niite Jimena Jimenes JJ
T G I F
Tukutane tena kesho kwenye historia muwe na weekend njema
Asante ankali kwa historia
 
9/Calvin Cordozar Breadus Jr
14cb8ea86b3c8ec868b6e0c0b6c81c80.jpg
f3a76d4639e2ba7cc22e2d0da779ec43.jpg
dd18b79617066ca08bf3654df5288aca.jpg
Anajulikana kama Snoop Dogg
Ana tabia kibao za kikorofi pia ana watoto kibao...jamaa anapenda bangi kupitiliza

Ana umri wa miaka 42
Anaingiza mkwanja kutokana na biashara zake nje ya muziki ikiwemo kampuni ya filamu iitwayo Wash and Bones,pia ana kampuni ya mavazi n.k
Ana utajiri unaofikia USD 110 milioni
........
 
TOP TEN
Baadaye nitabanwa hivyo nashusha mapema zen jioni kuchat nitaweza ila siyo kuweka mada labda tu Did U Know maana ni kutupia picha tu
Km kawa Ijumaa ndiyo kumi kubwa ya kumalizia wiki hivyo huwa tunaenda kiburudani zaidi
Leo tuangalie wasanii 10 wa muziki wa kufokafoka(hip hop) wenye mkwanja/mlunga mrefu size ya urefu wa treni
.......
Karibu
 
Back
Top Bottom