Makapuku Forum

Makapuku Forum

17dbd4153a828314862520c8e4762a91.jpg
End
.
.
.
.
.
Kutokana na kuwa maeneo korofi leo hakutakuwa na kumi kubwa
Tukutane kesho
Niwatakie jioni njema
......
Poa poa mvuvi wa kambale
 
Muziki: Usiseme Sana, Ninarudi


Nafsi yangu inaniaminisha kuwa uko salama kabisa Kapuku mheshimika siku hii ya leo, a hump day, yeah siku ya kati ya wiki ambayo sio siri huwa ngumu kwa kuwa tu tunakuwa tunaikaribia Alhamisi. Ukweli usemwe, usikae kimya kisa tu hutaki kusema sana, sema tu kuwa pamoja na ugumu wa siku ya Jumatano bado KF inaifanya siku hii kuwa nzuri na rahisi sana. Asante Kapuku mwenzangu, wewe ni wa kupigiwa mfano mwema and KF is a Bomb!

Shukurani kwa anko wangu lee empire kwa magazeti, hadithi na BBC na kama Nyagei (mtu wa spoti huyu) alivyosema leo umepiga hat trick, siwezi kumsahau shululu kwa uwasilishaji wake wa magazeti, nikushukuru Jimena kwa historia, husna muba kwa 'ufahamu' na kwa story Tupac na Guantanamo nilikuwa najua baadhi sema leo tumejifunza mengi, asante Bitoz kwa Je wajua. Ninyi watu ni watu mko vizuri na sisi watu muhimu wa humu tunasema asanteni.

Niseme nini ili nisionekana nasema sana. Nitasema, ni nzuri kumuona demi akiwa kaja kututembelea, yaani huyu ni mgeni mwenyeji kumkaribisha ni kupoteza muda maana anajua kila kona ya humu (sina hakika kama anajua siku hizi nakaa mbele kabisa na nimenunua viatu vipya-naamini nikisema manunuzi ninayofanya huugui tumbo, vyoo viko mbali jitahidi kujibana).

Muziki sasa, hivi unajua muziki wa reggae ni muzki ambao unachezeka katika hali yoyote ambayo unakuwa nayo wewe mpenzi mchezaji? yeah, hata ukiwa umekaa , umesimama , umesimamishwa unaweza kufurahia midundo ya reggae. binafsi napenda ile reggae ngumu ya kina Roots, Culture, Ethiopian, Burning Spear, Israel Vibration na laini za kina Gregory Issac na wengine.

Unawajua Morgan Heritage, kama huwajui sio ishu maana ndo maana tuko hapa KF, hii ni familia ya muziki, ndugu hawa wakiwa wanatokea Jamaica na huwa wanakusanyika pamoja kwenye kutoa burudani, tunaburudika nao leo, majina yao ni Peter "Peetah" Morgan, Una Morgan, Roy 'Gramps' Morgan, Nakhamyah "Lukes" Morgan na Memmalatel "Mr. Mojo" Morgan





00310532:260b29219dd31275a6125168e7780186:arc614x376:w1200.jpg
 
Muziki: Usiseme Sana, Ninarudi


Nafsi yangu inaniaminisha kuwa uko salama kabisa Kapuku mheshimika siku hii ya leo, a hump day, yeah siku ya kati ya wiki ambayo sio siri huwa ngumu kwa kuwa tu tunakuwa tunaikaribia Alhamisi. Ukweli usemwe, usikae kimya kisa tu hutaki kusema sana, sema tu kuwa pamoja na ugumu wa siku ya Jumatano bado KF inaifanya siku hii kuwa nzuri na rahisi sana. Asante Kapuku mwenzangu, wewe ni wa kupigiwa mfano mwema and KF is a Bomb!

Shukurani kwa anko wangu lee empire kwa magazeti, hadithi na BBC na kama Nyagei (mtu wa spoti huyu) alivyosema leo umepiga hat trick, siwezi kumsahau shululu kwa uwasilishaji wake wa magazeti, nikushukuru Jimena kwa historia, husna muba kwa 'ufahamu' na kwa story Tupac na Guantanamo nilikuwa najua baadhi sema leo tumejifunza mengi, asante Bitoz kwa Je wajua. Ninyi watu ni watu mko vizuri na sisi watu muhimu wa humu tunasema asanteni.

Niseme nini ili nisionekana nasema sana. Nitasema, ni nzuri kumuona demi akiwa kaja kututembelea, yaani huyu ni mgeni mwenyeji kumkaribisha ni kupoteza muda maana anajua kila kona ya humu (sina hakika kama anajua siku hizi nakaa mbele kabisa na nimenunua viatu vipya-naamini nikisema manunuzi ninayofanya huugui tumbo, vyoo viko mbali jitahidi kujibana).

Muziki sasa, hivi unajua muziki wa reggae ni muzki ambao unachezeka katika hali yoyote ambayo unakuwa nayo wewe mpenzi mchezaji? yeah, hata ukiwa umekaa , umesimama , umesimamishwa unaweza kufurahia midundo ya reggae. binafsi napenda ile reggae ngumu ya kina Roots, Culture, Ethiopian, Burning Spear, Israel Vibration na laini za kina Gregory Issac na wengine.

Unawajua Morgan Heritage, kama huwajui sio ishu maana ndo maana tuko hapa KF, hii ni familia ya muziki, ndugu hawa wakiwa wanatokea Jamaica na huwa wanakusanyika pamoja kwenye kutoa burudani, tunaburudika nao leo, majina yao ni Peter "Peetah" Morgan, Una Morgan, Roy 'Gramps' Morgan, Nakhamyah "Lukes" Morgan na Memmalatel "Mr. Mojo" Morgan





00310532:260b29219dd31275a6125168e7780186:arc614x376:w1200.jpg

Ahsante mdau
....
 
Muziki: Usiseme Sana, Ninarudi


Nafsi yangu inaniaminisha kuwa uko salama kabisa Kapuku mheshimika siku hii ya leo, a hump day, yeah siku ya kati ya wiki ambayo sio siri huwa ngumu kwa kuwa tu tunakuwa tunaikaribia Alhamisi. Ukweli usemwe, usikae kimya kisa tu hutaki kusema sana, sema tu kuwa pamoja na ugumu wa siku ya Jumatano bado KF inaifanya siku hii kuwa nzuri na rahisi sana. Asante Kapuku mwenzangu, wewe ni wa kupigiwa mfano mwema and KF is a Bomb!

Shukurani kwa anko wangu lee empire kwa magazeti, hadithi na BBC na kama Nyagei (mtu wa spoti huyu) alivyosema leo umepiga hat trick, siwezi kumsahau shululu kwa uwasilishaji wake wa magazeti, nikushukuru Jimena kwa historia, husna muba kwa 'ufahamu' na kwa story Tupac na Guantanamo nilikuwa najua baadhi sema leo tumejifunza mengi, asante Bitoz kwa Je wajua. Ninyi watu ni watu mko vizuri na sisi watu muhimu wa humu tunasema asanteni.

Niseme nini ili nisionekana nasema sana. Nitasema, ni nzuri kumuona demi akiwa kaja kututembelea, yaani huyu ni mgeni mwenyeji kumkaribisha ni kupoteza muda maana anajua kila kona ya humu (sina hakika kama anajua siku hizi nakaa mbele kabisa na nimenunua viatu vipya-naamini nikisema manunuzi ninayofanya huugui tumbo, vyoo viko mbali jitahidi kujibana).

Muziki sasa, hivi unajua muziki wa reggae ni muzki ambao unachezeka katika hali yoyote ambayo unakuwa nayo wewe mpenzi mchezaji? yeah, hata ukiwa umekaa , umesimama , umesimamishwa unaweza kufurahia midundo ya reggae. binafsi napenda ile reggae ngumu ya kina Roots, Culture, Ethiopian, Burning Spear, Israel Vibration na laini za kina Gregory Issac na wengine.

Unawajua Morgan Heritage, kama huwajui sio ishu maana ndo maana tuko hapa KF, hii ni familia ya muziki, ndugu hawa wakiwa wanatokea Jamaica na huwa wanakusanyika pamoja kwenye kutoa burudani, tunaburudika nao leo, majina yao ni Peter "Peetah" Morgan, Una Morgan, Roy 'Gramps' Morgan, Nakhamyah "Lukes" Morgan na Memmalatel "Mr. Mojo" Morgan





00310532:260b29219dd31275a6125168e7780186:arc614x376:w1200.jpg

Asantee binamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom