Makapuku Forum

Makapuku Forum

Beki wa Southampton Virgil van Dijk hajawasilisha maombi ya kuondoka kama njia ya kulazimisha uhamisho wake kwenda Liverpool. (Daily Echo)
 
Breaking News!!

Golikipa SAIDI MOHAMMED "NDUDA ' asaini kandarasi ya miaka miwili (2) kuitumikia Simba SC akitokea klabu ya Mtibwa Sugar ya Turiani mkoani Morogoro, Nduda pia yumo kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars''
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom