Asubuhi njema Makapuku.
Nimeamka salama kipindi cha kwanza kimeanza bado bila bila, ila leo upepo uko upande wangu. Nimekutana na mhasibu akasmile akagonga tano najua masurufu yangu yatatoka.
You great people have a great rest of the day, tukutane jioni jioni
Kutana na Rais mpya wa Mongolia aliyeapishwa siku chache zilizopita, Battulga Khaltmaa. Ni mcheza mieleka na bingwa wa dunia wa karate. Ana haja ya kuzungukwa na utitiri wa mabodigadi?