Makapuku Forum

7/Saltwater Crocodile Wanapatikana barani Afrika,Asia na Australia
Wanaishi kwenye mito na maziwa ya maji chumvi ndo chanzo cha jina lao
Huwa na urefu kati ya futi 5 hadi 20
Wana tabia ya kunyatia mawindo kimyakimya yaani ni fundi wa kuwinda
Pia ana spidi kubwa awapo majini hivyo huwezi kushindana nae
Ana meno makali balaa hivyo kwake kuvunja mfupa ni sawa na kuvunja bisjuti tu
Kwa mwaka hiua na kujeruji takribani watu 600 hadi 800
.....
 
Danger sana
 
Huyo ni muuaji hatari sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…