Makapuku Forum

Makapuku Forum

d5c43048246fadaed0b668075a7a5492.jpg
 
a0aca768e09760613d9d6c8fccc00bd9.jpg
2892ec18b4aec0edfb058d2073d862c1.jpg
bfa14764e76f3d6880e807356d5e7cde.jpg

Nani zaidi kati ya Madiba na Kamvarage?
Kwangu mimi Kambarage yupo juu maana harakati zake za ukombozi zilikuwa ni kubwa nje ya nchi....kilichomwongrzea umaarufu Madiba ni kufungwa jela tu na kisha kuwasamehe weupe(makaburu) na ubaguzi wa rangi huko bado unawasumbua

Ujanani alikutana na binti mrembo na mjanjamjanja Winnie ambayo alimsaidia sana kwenye harakati za kisiasa ila akansaliti akiwa jela na ndoa yao kulegalega kisha kutengana
Alaja kumuoa Graca Machel uzeeni ambaye ni mjane waSamora Machel

Alifariki mwaka 2013 akiwa na miaka 95
What a blessing?
.....
Nyerere kiboko!

Happy birthday Tata Madiba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom