Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,538
Sina mpya ndugu tuko tunapambana tu mzee ,Sijui huko kwako kuna mpya ganiLete jipya

Sina mpya ndugu tuko tunapambana tu mzee ,Sijui huko kwako kuna mpya ganiLete jipya

Huku mpya hakuna ....mzee naona kila sik yupo kwaooSina mpya ndugu tuko tunapambana tu mzee ,Sijui huko kwako kuna mpya gani![]()
![]()
Hahaha anaenda kujiweka sawa ,Maana anajua nyie watu wa Darslama sio watu wazuriii mnaeza mkaflotishaHuku mpya hakuna ....mzee naona kila sik yupo kwaoo

Kwanii wao hawawezii kuja mpandashalamaaaa??Hahaha anaenda kujiweka sawa ,Maana anajua nyie watu wa Darslama sio watu wazuriii mnaeza mkaflotisha![]()
![]()
Cool, how are you so far.Mambozi
Cool,Hello mr mchawiii
Tell me ma nigCool,
post using my macbook air using jamiiforums app
I'm okCool, how are you so far.
post using my macbook air using jamiiforums app
Nyerere kiboko!![]()
![]()
![]()
Nani zaidi kati ya Madiba na Kamvarage?
Kwangu mimi Kambarage yupo juu maana harakati zake za ukombozi zilikuwa ni kubwa nje ya nchi....kilichomwongrzea umaarufu Madiba ni kufungwa jela tu na kisha kuwasamehe weupe(makaburu) na ubaguzi wa rangi huko bado unawasumbua
Ujanani alikutana na binti mrembo na mjanjamjanja Winnie ambayo alimsaidia sana kwenye harakati za kisiasa ila akansaliti akiwa jela na ndoa yao kulegalega kisha kutengana
Alaja kumuoa Graca Machel uzeeni ambaye ni mjane waSamora Machel
Alifariki mwaka 2013 akiwa na miaka 95
What a blessing?
.....
We gonna miss you! All the best huko uendako diaHello family...
Niwaage tu kwa muda usiojulikana.. Nitakuwa nje ya jf na kapuku pia...
Niwatakie tuu siku njema na maisha mema pia....
Nitawamiss kweeeli!!!!! Shunie, you know where to find me....
You guys take care of yourselves.....
Sakayo
Hii Mac book yako ni ya kichina??Guys i will be back in 8 hours and 30min
post using my macbook air using jamiiforums app
Karibu sie tupoHelloooo
Hodi kwa mara ya pili naombeni mnipokee upyaa...
Muda mrefu nilikua naingia kwa machale humu now am free tutakua pamoko muda wote..
Karibu sie tupo
Husahau na ww, achana nae bwana, nataka kuwa sister mwenzakoRay van Boy kanituma jibu lake..
Husahau na ww, achana nae bwana, nataka kuwa sister mwenzako
KaribuuuHelloooo
Hodi kwa mara ya pili naombeni mnipokee upyaa...
Muda mrefu nilikua naingia kwa machale humu now am free tutakua pamoko muda wote..
Eti kuwa sisterHusahau na ww, achana nae bwana, nataka kuwa sister mwenzako