Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,720
- 15,352
Hahahaha kwani umeelewajeEti kuwa sister
Hahahaha kwani umeelewajeEti kuwa sister
Ata sijuii nimeelewa niniHahahaha kwani umeelewaje
Tukijiandaa kupata lunch ...salaam kwa wote watakaoweza kupata hicho japo kigodo cha mchane wengine ata jioni sio mbali tunaweza kufika japo wengi huwa tunajiuliza na kuna ubishii kweli
Wengine wanadai wanaweza kushinda na njaa mpka jioni wengine wanadai hawawez....
Huku wengine wakijidai kabisa kuwa ni rahis sana kulala bila kula yaani na njaaa ukilinganisha na mchana ...yote majibu unayo wewe ....
Anyway hayatuhusu ...ngoja tukaongeze siku...
Don't mess with kansiime. ...
KaribuHelloooo
Hodi kwa mara ya pili naombeni mnipokee upyaa...
Muda mrefu nilikua naingia kwa machale humu now am free tutakua pamoko muda wote..
Sema huyu mdada namuonea huruma mme wakee...make machepelee balahaVichekesho vya Kansime havijawahi kumuacha mtu salama
Waweza jikuta ndani mpole sanaaSema huyu mdada namuonea huruma mme wakee...make machepelee balaha
Huyuuu hapanaa....
Labda ....ila anajua kiukweliiKweli hapo si anatafuta pesa
Sio labdaLabda ....ila anajua kiukwelii