Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Na kwako kumbeee ??Hapana..
Kwenye mapenzi hayo hutokea
Mbona nakumbuka una roho kama ya baba yako ...??
Na kwako kumbeee ??Hapana..
Kwenye mapenzi hayo hutokea
Dada halaf ilikuwa utani tu sema T kachulia serious jamaanHee
Umesahau juzi usiku eeh... Mpaka nikasema niko kwa Mwamposa
Ni kweli dada ni kawaida kwenye mahusianoHapana..
Kwenye mapenzi hayo hutokea
Nyie kweliii mapachaaMmh T hayajaisha tu unataka huyo mtu akufwe jaman usitufanyie hivyo kwa niaba yangu naomba umsamehe kazi unanipa mie ya kuanza kumbeleleza jamaan jana hatujalala
AiseeeeAmekuigaa wewe kuliaa etiiiii???
YaaniHata mie nimeshangaa ujue najua yaliisha
Mie sijakimbia nilirudi dadaHuku na wewe umekimbiaaa na Tumoo nae akaula wa mbuzi... Wakati alikuwa ananiambia kamsalimie shemeji yako....
Baba D jamaanAmekuigaa wewe kuliaa etiiiii???
Mdogo wangu mie... Nimekoma mieAcha tu dada
Nop usifanye hivyoMwenzangu....
Mie nitaenda kulala saivi na kazi naacha ujue
Na kwako kumbeee ??
Mbona nakumbuka una roho kama ya baba yako ...??



Baba D ebu acha ujue mwenzio yupo kwenye kipindi kigumu
Analia tu Baba DNyie kweliii mapachaa
Ahahhaha wapi hukoUzuri nina pa kukimbiliaaa![]()
![]()
![]()
Dada yataishaYaani
Mie nifanye nini sasaaa
YaaniNimerudi nimekuta mmeshatoka dada
Inabidi umakini kwenye utani dada halaf mbona ye huwa anatanianaga na watu lakiniMdogo wangu mie... Nimekoma mie
Haelewi utani sasaaaDada halaf ilikuwa utani tu sema T kachulia serious jamaan
Halaf ilikuwa utani tu jamaanYaani
Bora ungekuwepo jamani.... Sikwenda kumuona halafu msala ndo huu sijui ningeenda ingekuwaje