Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu kwa sasa nimeolewa na Yesu. Nimeacha ya kale

Kwa kuwa umeamua kuja kimaandiko wacha nikufunulie... Unakumbuka wakati Yesu alienda kupiga misele jangwani hadi akakutana na ndugu shetani wakati akiwa na njaa hadi bwana mdogo akataka kumjaribu abadili jiwe kuwa mkate tayari Yesu alikuwa ni Mwana wa Mungu? Jiulize kilichompeleka kuzunguka huku na huko!

Kama hiyo haitoshi kumbuka Scene ambayo alikutwa na mwanamke msamaria kisimani akimwambia anataka kumpa maji ya uzima...alishindwaje kuwatuma kina Petro? Kisima cha kale hakifukiwi eroo...
 
Kwa kuwa umeamua kuja kimaandiko wacha nikufunulie... Unakumbuka wakati Yesu alienda kupiga misele jangwani hadi akakutana na ndugu shetani wakati akiwa na njaa hadi bwana mdogo akataka kumjaribu abadili jiwe kuwa mkate tayari Yesu alikuwa ni Mwana wa Mungu? Jiulize kilichompeleka kuzunguka huku na huko!

Kama hiyo haitoshi kumbuka Scene ambayo alikutwa na mwanamke msamaria kisimani akimwambia anataka kumpa maji ya uzima...alishindwaje kuwatuma kina Petro? Kisima cha kale hakifukiwi eroo...
Mkuu hizi ni nondo dhaifu sana kubadili msimamo wangu, isitoshe Yesu alimshinda nyoka kwa maandiko, pia Yesu hakuzini na huyo mama kisimani zaidi ya yote alimbadili kwa tabia yake ya uzinzi na akakimbia kwenda kutoa ushuhuda kijijini kuwa Yesu amemwambia kuhusu tabia zake za siri.
Kila kitu kina mwanzo na mwisho wake, nami nilifanya kiasi na nimeacha jumla.
Ninaye wangu ananitosha sana
 
Mkuu hizi ni nondo dhaifu sana kubadili msimamo wangu, isitoshe Yesu alimshinda nyoka kwa maandiko, pia Yesu hakuzini na huyo mama kisimani zaidi ya yote alimbadili kwa tabia yake ya uzinzi na akakimbia kwenda kutoa ushuhuda kijijini kuwa Yesu amemwambia kuhusu tabia zake za siri.
Kila kitu kina mwanzo na mwisho wake, nami nilifanya kiasi na nimeacha jumla.
Ninaye wangu ananitosha sana

Mkuu ningejua mto uloenda kunawa ukatakasika dhambi zako zikaisha basi ningeenda kuyanywa maji ya jito hilo maana ukiona mtu mzima anatubu basi ujue kuna dhambi zilizonona nasi kama wanufaika wa vya madhabahuni tusingekosa hata mifupa miwili mitatu iliyosahaulika kutafunwa vyema minofu yake!
 
f19cfd4d227297aa3170a2d29f952c15.jpg
 
Mkuu ningejua mto uloenda kunawa ukatakasika dhambi zako zikaisha basi ningeenda kuyanywa maji ya jito hilo maana ukiona mtu mzima anatubu basi ujue kuna dhambi zilizonona nasi kama wanufaika wa vya madhabahuni tusingekosa hata mifupa miwili mitatu iliyosahaulika kutafunwa vyema minofu yake!
Imeandikwa..tubuni na kuiamini injili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom