Makapuku Forum

Mtu mmoja auawa nchini Venezuela wakati wa zoezi la upigaji kura ya maoni lisilo rasmi.

Zikiwa zimebakia wiki chache tu kufanyika Uchaguzi mkuu nchini Kenya, wanasiasa wanaowania nafasi ya Unaibu rais kupambanishwa leo katika mdahalo.

Mashirika ya Kiraia Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo yawataka raia kupinga makundi yanayowataka kuandamana.

Na Afrika Kusini wameibuka washindi wa jumla wa mashindano ya riadha kwa vijana wasiozidi umri wa miaka 18 yaliyokamilika jumapili mjini Nairobi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…