Zamani mtu anatembea kilometer 5 kwenda shule na anafauru vizuri tu, sasa hivi wanabebwa kwenye mabus, ukiwauliza kusini ni wapi utakavyojibiwa utachoka
Ndiye rais wa kwanza wa Irak
Aliingia madarakani July 1968 baada ya kuuondoa utawala wa kifalme uliosimikwa na King Faisal I kuanzia mwanzoni nwa miaka ya 1920(nilieleza juzijuzi)
Alifariki dunia Oktoba 4 1982
.......
Zamani mtu anatembea kilometer 5 kwenda shule na anafauru vizuri tu, sasa hivi wanabebwa kwenye mabus, ukiwauliza kusini ni wapi utakavyojibiwa utachoka