Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Ni nzuri hbr ya wkendNzuri mamy
Za wewe apo
Ni nzuri hbr ya wkendNzuri mamy
Za wewe apo
Mama mchungaji anatutakiaa balaa hapa captain ..mHahaha ni yeye captain mama mchungaji kamuachia kijiti hicho usishangae

SawaWe cheka tuu
Tupo tu na Hii weekendAsante shemeji habari ya kulisongesha
Manga mzimaMama emonji
Mama mchuchu yupo mzima tuMama mchuchu kaenda wapiiii jamaniiii
Safar ya kigambonii hipo au haipoo??
Muelewesheee jamamiShemela katupotezea tu, ila sisi ni watu wazima
Mie sijui shemela kama unavyonionaNasikia siku hizi unaitwa mama B
Usimsikilize Lee, yule ni mpagani
Amina mtawa wetu barikiwaWabarikini wale wanaowatesa, barikini wala msilaani. Furahini pamoja na wenye kufurahi, lieni pamoja na wale waliao.
Kaeni kwa amani ninyi kwa ninyi. Msijivune, bali mwe tayari kushirikiana na wanyonge. Wala msiwe watu wenye kujivuna kwamba mnajua kila kitu. Msimlipe mtu ye yote ovu kwa ovu. Jitahidini ili mtende yaliyo mema machoni pa watu wote. Kama ikiwezekana, kwa upande wenu kaeni kwa amani na watu wote.
Wapendwa, msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Kisasi ni juu yangu, mimi nitalipa, asema Bwana.” Badala yake: “Adui yako akiwa na njaa, mpe chakula; akiwa na kiu, mnyweshe. Maana ukifanya hivyo, utampalia makaa ya moto yanayowaka kichwani pake.” Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.
Warumi 12:14-21
Mbarikiwe sana muwe na mchana mwema![]()
![]()

Style yako hii mpya siipendiiiiiiiHapana shemela ujue labda nambore

Sawa shemeji mi naikimbilia mbeyaTupo tu na Hii weekend
Aisee kwa nini, au kayaamsha mapepoMama mchungaji anatutakiaa balaa hapa captain ..m![]()
![]()
![]()

Hbr ya wkend,pole na majukumu ya kututafutia ugaliMy love
Na nani?Utaibiwa
Barikiwa na wewe mke mweeAmina mtawa wetu barikiwa![]()
![]()
![]()
![]()

Anaelewa vizuri sanaMuelewesheee jamami
Basi sitaweka tena uwe na amani ya moyo barikiwa sanaStyle yako hii mpya siipendiiiiiii![]()
![]()
![]()
Ndo ujue sasaMie sijui shemela kama unavyoniona