Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
What's up
What's up
![]()
hivi mbona mna majungu jamaan
![]()
me kuwa mhubiri kaka vitu ambavyo haviwezekaniki jmaan

EwaaaaNitakua assit 100k, lazima nijiongeze
Kwakweli mabinti wana cha kujifunza sana mie mwenyewe muhenga mwenzio![]()
![]()
![]()
Kisa kizurii kinasisimuaa kina mafundisho mazuuuuri ndani yake
Kwenu mabinti kuna cha kujifunza hapoo mi simoo maana nimeshakuwa muhenga
Hakuunaa jitahidi uwe unatoa mapepo km huyuKuna tatizo kwani mpendwa wa binamu
HallelujahNgekewa wangu, yawezekana hata siku yako ya mwisho utapaa kama Eliya/ Elijah

Ubarikiwe binamu yangu naomba nyimbo ya christina shusho napendaAsante BH
Oh asante aunt yangu kwa maneno mazuri ya mchana
Sawa dada asante kwa kuwapa funzo akina ......Imeishia hapo kaka house gal ndio kapendwa ujue kwa utulivu wake
Unatakiwa ufurahie kaka angu na kumshkuru Mungu me kuwa muhubiri sio kunicheka ubarikiwe kaka
Sawa sawa kila kitu kina wakati wakeHakuunaa jitahidi uwe unatoa mapepo km huyu![]()
Hapa lazima pepo likimbie half lingine lijeHakuunaa jitahidi uwe unatoa mapepo km huyu![]()
Ewaaaaaa yule mvimba macho usimuweke tenaEwaaaa
Ahahhah mie simoSawa dada asante kwa kuwapa funzo akina ......
Nakuona nakuonaaaHallelujah![]()
Jf