Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Hatujambo chikamoo mkubwaHamjambo?
Hatujambo chikamoo mkubwaHamjambo?
AmeeenKUWA MWANGALIFU NA MANENO YAKO UTAMKAYO.....
MATHAYO 12
37. Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
MITHALI 6
2.Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako.
NAWATAKIA MCHANA MWEMA MBARIKIWE![]()
Vipii fakalava jamaan
Oohoooo kumbe sie wote ni wahengaKwakweli mabinti wana cha kujifunza sana mie mwenyewe muhenga mwenzio

Hata mi sijataja majinaAhahhah mie simo
NgachokaaArudishe fasta
Kho Kho Kho Kho Kho KhoNaogopa mie kulala na mtu nishajizoelea kulala mwenyewe
Ameen kaka

Barikiwa dada anguAmeeen
Badoo
Wote wahenga inawafaa masister duu wajifunzeOohoooo kumbe sie wote ni wahenga![]()
![]()
![]()
Marahaba MndaliHatujambo chikamoo mkubwa
NakupendaEwaaaa
Really!Tunakupenda pia kaka![]()
![]()
![]()
![]()