Refa mapenati ni wa Manchester?
Mashabiki wa Utd tunamjua alivyokuwa anatubeba kiasi cha kudaiwa ni "mtu wetu"
Alikuwa pilato wa mechi ya Fainali WC 2010 pale Sauzi akaharibu
Tukio linalokumbukwa ni aliposhindwa kumpa red Nigel de Jong aliyemrukia teke la kifua Xabi Alonso
......