Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Waooow waooow waooow waooow waooow
Najaribu husnaaaaa go to do go to do.......
Thanks so much mtaasisi kwa burudani ya nguvu
Kwa mbaali nimesikia jina la kipenzi cha Nyagei...... Linamo mama show love kwa KF
Tafsiri ya neno bambia ni ipi?
Huu utafiti wa leo ni hewa kweli. Mi nakubaliana na wale wanaoongozwa na mwili sababu najua akili tulizonazo ni za kupewa na jamii kitu ambacho kwangu sio sawa.Wakuu habari zenu
UTAFITI HEWA
Usikubari kuongozwa na mwili badala ya akili bali akili ndo iuongoze mwili
Wote wanaoongozwa na mwili hushindwa katika kutimiza wanacho kifanya
Anae ongozwa na akili hufanikiwa zaidi na zaidi
Gazeti la kiitikadi
Nimempigia saluteYeeeeeaaaah ndo binamu wangu sasa huyoo
Sports news tafadhaliView attachment 541770Siku njema makapuku wote
Na we pia shululuView attachment 541770Siku njema makapuku wote
Asante Uncle Lee kwa UF na Dondoo za BBC
Umeamkaje kipenzi cha mtaasisi?
Morning TMorning fam
Baadae uagize Balimi mbili nitakuja kulipiaHuu utafiti wa leo ni hewa kweli. Mi nakubaliana na wale wanaoongozwa na mwili sababu najua akili tulizonazo ni za kupewa na jamii kitu ambacho kwangu sio sawa.
Mwili wako ndio rafiki yako kwa kweli na siku ukiamua kuutii japo kwa 80% basi maisha yako yatabadilika hadi utashangaa.
Kuna sababu kuwa kwanini tunazuiwa kuitii miili yetu. Sababu hizo ni pamoja na za kiimani na kiutawala. They know exactly kitakachotokea pale tutakapokuwa tunaitii miili yetu.
Rafiki yako wa ukweli hapa duniani ni mwili wako tu, haujawahi kukuangusha na hautakuja kukuangusha no matter what
Balimi ngumu kumeza jamani kwanini tusifanye ka glass kaBaadae uagize Balimi mbili nitakuja kulipia
BaishiaTafsiri ya neno bambia ni ipi?