Leo katika Historia
1980 - Seretse Khama, Rais wa kwanza wa Botswana anafariki Dunia.
Pamoja MkuuAsante mkuu
Safi Mndali, vipi wewe hali yakoUmeamkaje sakayo
MC Gregory anakwambia atapambana mpaka mwishoAugust kuna pambano matata..
Mayweather na Mc gregory
Mie nimejikuta na tabasamu tuuMoyo wangu umeshtuka paaaah!
Nakumiss ujuePamoja Mkuu
Sawa mChelseaSio yeye mkuu make ata alivotoka likizo kwenye press conference aliongelea kutotimizwa kwa matakwa aliyoomba na mkataba wake alikuwa amegoma kuongeza kwa sababu ya mambo ya bodi ya usajili
Achana naowanabana matumiziii ....ila kiukweli ni sawa na bure buku tatu ila nachojua bajeti ya kuileta Everton sio kwa waandaaji wasitudanganye ...ni ratiba za Everton kwa pre season
Nakupenda.Mie nimejikuta na tabasamu tuu
Tusubiri dada shunie mwenye kwaoHahaha
Umeonaee... Hawafai hata kwa limao
Mi niko poa kama mungu alivyo penda niweSafi Mndali, vipi wewe hali yako
Angalia hata Man Untd TvAchana nao
Nasubiri game za Man Utd pre season nacheki zote AzamTv hata kama ni Usiku wa maneno na alfajiri ...kitaeleweka tu
Kwangu soka !!
.....
Kila kitu ujueHahaa
Sema umemiss nini..!
FactWakuu habari zenu
UTAFITI HEWA
Ukiwa huwezi kuamua jambo kwa akili zako basi tegemea kuwa mzigo kwa familia yako
Hahahahaha huyu kweli alikuwa mtataJamaa ni mkorofi mwenye kipaji Mnaikumbuka hii?
Ilikuwa ni baada ya kukorofisha na mchezaji mwenzie kabla ya mechi(nadhani John Arne Rise) sasa Bellamy sijui Bellamy akampiga mwenzie
Siku ya mechi nahisi UCL akafunga na kushangilia Kwa style hiyo akiigiza tukio lilitokea
.....
AmeeenMi niko poa kama mungu alivyo penda niwe
Kwema kabisa kaka ake JimenaKwema lakini dada?
Awwwww asanteeeeWaoooo..... Asante sana. Mimi nikikuona mapigo ya moyo yanadunda yakiita Jimena, Jimena, Jimena.
Ataua mtuTusubiri dada shunie mwenye kwao