Makapuku Forum

Dah...
 
5/PetroChina Company Limited
Ilianzishwa mwaka 1999
Hii ni kampuni kubwa inayomilikiwa na Wachina
Inajishughulisha na biashara ya mafuta na gas yaani ni kama akina Lake Oil,QRXY na Oilcom
Kuna adiyejua utajiri mkubwa uliopo kwenye biashara ya mafuta duniani? Waarabu ndo rasilimali yao kuu
PetroChina Kwa mwaka hukusanya USD 373 billion
Imeajiri watu takribani 550,000
........
 
Haya maneno ni mazito sana!
Nitakuwa sio muungwana ikiwa sitasema asante kwa kunipenda huku.

Lakini sasa we unanipenda kweli au unadhani nahitaji mtu wa kunipa hayo maneno matamu uliyosema??
 
Hawa jamaa

Hakuna mahali hawajagusa
 
4/Volkswagen AG
Ilianzishwa wakati wa utawala wa Kinzi huko Ujerumani
Dikteta Adolf Hitler alitamani kila Mjerumani aendeshe gari na kutambua mjini badala ya kuzungusha pedali za baiskeli na akafanikisha azma yake Kwa kuanza na uzalishaji wa magari ya gharama nafuu
Kwa mwaka huzalisha/huunda magari takribani Milioni kumi
Imeajiri watu zaidi ya 560,000
..........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…