Makapuku Forum

10/McDonald's Corp. Kwa watoto wa kiahua au watu waliozoea mboga saba hakuna asiyeijua McDonald's ....ni kampuni kubwa ya migahawa iliyosambaa duniani
Ni kampuni inayomilimiwa na Wamarekani na ambayo Kwa mwaka hupata mapato yanayokadiriwa kufikia USD 28.2 Billion
Imeajiri wafanyakazi takribani 440,000 katika ajira rasmi ila wapo wengine takribani milion wanaoitegemea kuendesha maisha yao

Demu anayetaka pizza anifuate PM
......
 
MATHAYO 20

32.Yesu Akasimama,akawaita akasema mnata niwafanyie nini?

33.Wakamwambia ,Bwana twataka macho yetu yafumbuliwe.

34.Yesu alawahurumia ,akawagusa macho yao;mara wakapata kuona,wakamfuata

BABA asante kwa somo jioni hii ya leo.

Tunaweza kujiuliza kwanini Yesu aliwauliza swali hili hali akijua ni vipofu?

Ingawa ni vipofu hitaji lao lingeweza lisiwe la kuona.

Nia ya Yesu ni utambue hitaji lako na kulitaja wazi mbele zake.

Sasa YESU anakuuliza nawe,pamoja na kuwa anaifaha mu hali unayopitia lakini anataka kusikia toka kinywa chako,nia yake ni wewe kueleza shida zako kwa kinywa chako na kutaja wazi mbele yake.

Anakuuliza unataka akufanyie nini?

Mwambie hitaji lako sasa,ATAKUSAIDIA.

JIONI NJEMA MBARIKIWE



Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Asante

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha...hongera Mcdonald...mi napenda pizza sana Mdau Bitoz tupe ofa tu bila masharti ya PM.

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Amina mamy...

Hitaji la moyo wangu ni Hekima na Busara.... Hayo mengine ni ubatili
 
Mi nataka pizza
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…