Na kufikia hapo basi sina la ziada kwenye historia. Asanteni sana kwa kunifuatilia..... Shukrani sana kwa mwaka mmoja na miezi 3 ya Makapuku Forum ambao ndio imedhamini ngwe hii....
Niite Jimena Jimenes a k a JJ nawatakia jumatatu njema yenye mafanikio tele
Mondray hili tatizo nakumbuka si mara ya kwanza,naomba uongee na daktari akuambie mambo muhimu na dawa muhimu za kuwa nazo kama first aid ,za kukusaidia mpaka ufike hospitali,ni hatari kupata maumivu mfululizo bila msaada