Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Wapi wewe.Ni uhakika na mambo yangu kijana
Shemeji Lizzie aliniambia wewe ni kama dimpoz.
Wapi wewe.Ni uhakika na mambo yangu kijana
Okay honeyBaby am out, I will be back
Na hili ndilo tatizo linalowatatiza wengi.Hii ishu Kila MTU awe willing. Kingine tupo mikoana tofauti pia ni changamoto
Ni wazo zuri lakini litakuwa na mapungufu yake maana unaweza kukuta mtu yupo Singida na anajikuta peke yake anayewakilisha Makapuku.Tulisema ikiwezekana watu wa mkoa mmoja au mikoa ambayo iko karibu wanaweza kufungua hata group la whatsapp ili kuwasiliana na kujuana zaidi.
Michepuko wapi tena shemeji.Nitajihakikishia kwa nahrene. Ila sikuhizi naye ana mchepuko
Good morning brother.Goodmorning humu
Umenifurahisha bhanaVipi nimekosea????? Mkuuu
Hahaha.Yaaani tangu azimeee taaaa ukiona jina LA young blood huna aamani....
Goodmorngn brooo
Sioni wa kujipanga hapo.Endelea kujipanga tu
Brother mimi nasema kweli.Braza umefika mbali sasa. Hebu nitake radhi tafadhali
Kwani ni vibaya wakikusaidia kuzima taa Kama unavyomsaidia emmyguy?Michepuko wapi tena shemeji.
Hebu ongeza maelezo kidogo......
Mwanamke anaitwa RABIA AU RUBII na mwanaume ni RABII mimi ni mwanaume bestDaaah samahani Rabii90
7 70
Youngblood unachepuka sana
Mie hawezi nipata maana hajui kupetipetiKuwa makini saana nawewe
Wazo zuri sana hili watu wamwage Ideas, Uzoefu wao hapa kupitia hilo mtu utapata cha kujifunza na kama youngblood alivyosema wale wanaishi mkoa mmoja ama mikoa ya karibu wakiona yafaa kuunganisha nguvu ili kutimiza hilo ni vema kabisa..Na hili ndilo tatizo linalowatatiza wengi.
Ni wazo zuri lakini litakuwa na mapungufu yake maana unaweza kukuta mtu yupo Singida na anajikuta peke yake anayewakilisha Makapuku.
WAZO BINAFSI.
Ningependekeza yawepo mawazo ya watu tofauti tofauti kwa kila mmoja kujaribu kutoa ubunifu wa kitu kipi cha kufanya ili kwa kila atakayeona wazo flani linamfaa atalichukua na kulifanyia kazi kulingana na uwezo wake ama anaweza tafuta watu wengine kutoka huko aliko na wakaungana. Inakuwa ametengeneza kitu kutoka kwenye mawazo ya Makapuku Family, nahisi itasaidia sana.
Nimekukumbuka saana mwalimuuuuHabari zenu ndugu zangu makapuku? Naamini mpo poa na Mungu ametupa fursa ya kuishuhudia cku ya leo.
Mimi nasaidia kila mwenye shida.Youngblood unachepuka sana