Makapuku Forum

Makapuku Forum



Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Leo umefungua kitu kutoka kariakoo nini ??
a26f57b42630a42fc2dae4c34cdd9bca.jpg
 
Maombezi yenu jamani naona huu usiku niwKa kwangu kwa maatwso ninayoyapata..
Pole sana ...muhimu usiwaze sana hata kama unaumia just relax jione uko poa make ukizidi kuwaza ndo ata uchocheajii wa uzwalishwaji wa HCl acid tumboni unazidiii jambo ambalo litazidisha tatizo ...kama kuna dawa umezitumia relax...alafu kula vitu ambavyo combustion yake mwilini havizalishi ata chembe ya acid ....ila ukibugia machips yenu plus maayonizee utaadithia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom