Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]

Umenena vyema huu uzi kila wanaojaribu wanashindwa make kwanza utasikia wanataka wafanya kama makapuku ....wale chizi wa likes wenyewe wanashindana reply nadhani lakini kwa elimu kapuku mwanzo mwisho
Habari ndio hiyo

Sent from my E5653 using JamiiForums mobile app
 
[emoji15]

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Leo umefungua kitu kutoka kariakoo nini ??
a26f57b42630a42fc2dae4c34cdd9bca.jpg
 
Maombezi yenu jamani naona huu usiku niwKa kwangu kwa maatwso ninayoyapata..
Pole sana ...muhimu usiwaze sana hata kama unaumia just relax jione uko poa make ukizidi kuwaza ndo ata uchocheajii wa uzwalishwaji wa HCl acid tumboni unazidiii jambo ambalo litazidisha tatizo ...kama kuna dawa umezitumia relax...alafu kula vitu ambavyo combustion yake mwilini havizalishi ata chembe ya acid ....ila ukibugia machips yenu plus maayonizee utaadithia
 
Back
Top Bottom