Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Maana usijinasibu kumpa mimba lizzyShemeji tafadhali.......
Maana usijinasibu kumpa mimba lizzyShemeji tafadhali.......
Nimepona shemeji saivi mambo yako poa kabisa.Labda Kama ulipona kale ka ugonjwa
You're welcomedWapendwa Makapukuuuz salamu kwenu nyote. Mimi niko vyema.
Nawaombea wikend njema
Ni uhakika na mambo yangu kijanaUsisahau kupima DNA broh kujipaa uhakika zaid
Hahahahah Sister pastor jambilo alishakuja kuacha upastor maana alikuja kutengana na mke wake Patience123...na nikupe angalizo hata wewe usikubali kuwa naye sehemu zenye giza anaweza akabadili soma chap..Vipi tumualike na pastor jambilao
Hiyo lazima.Na akikubali tuuiu lazima ufanye uharibifuuuu
Nitajihakikishia kwa nahrene. Ila sikuhizi naye ana mchepukoNimepona shemeji saivi mambo yako poa kabisa.
Yaaani tangu azimeee taaaa ukiona jina LA young blood huna aamani....youngblood amekimbiwa na shem Nahrene kisa hajui kumpetipeti mwanamke, jamaa ameshachanganyikiwa na kujikuta anapalamia hovyo mashemeji zake kwa kuwaita 'shemdarling'.
Braza umefika mbali sasa. Hebu nitake radhi tafadhaliBora umshauri wewe maana nina uhakika 100% jamaa ananisaidia kulea.
Nasikia bro ni kama dimpoz tu.
Nasikia ana pesa za sadaka nataka awe shemeji yako maana peter choka kazingua anachepuka Sana sikuhizi hata nyumbani harudi.Hahahahah Sister pastor jambilo alishakuja kuacha upastor maana alikuja kutengana na mke wake Patience123...na nikupe angalizo hata wewe usikubali kuwa naye sehemu zenye giza anaweza akabadili soma chap..
Hujuiii?????? Ni unyan Wa ungabuNani tena.
HapajuiWewe huyu
Ataweza kwenda??![]()
![]()
![]()
Brother naomba ukae mbali na familia yangu.Hahahaa... Jamaa hapajui hata huko kijijini alikoenda shem Nahrene, ataanzeje kwa mfano!?
Morning nyandaGoodmorning humu