Hahaha![]()
![]()
![]()
shemeji
Endelea kuimbaJimena, hii mic niliyoishika, ninakuimbia wimbo mtamu etiii![]()
![]()
![]()
![]()
Nzuri tu Tumoo habari ya weweSakayo wa T hbr yako
Nitajitahidi ila siwezi ahidi zaidiMsaidie kaka ako kufikisha ujumbe huo
Kwako pia ObeMida kidogo wadau. Tuwe na wakati mzuri
Labda n utoto unamsumbuaPogba angekuwa na kipaji kama Zidane au Messi sijui ingekuwaje
Jamaa ni bonge la mswahili
......
Jambo weweMorning
Naona kama anacho kwa mbaaaliHata kipaji hana
![]()
![]()
![]()
....
SijamboJambo wewe
NdioWakuu kwemaaaa ????
Nambie sakayo mke ya TNdio
Mdau uko poaa ....Hata kipaji hana
![]()
![]()
![]()
....
HayaSorry kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wangu nilijikuta nakosa internet kutokana na eneo nililokuwepoo...ila nawakumbuka haswa ....
Salaam kwa kapuku wote
Sina jipyaNambie sakayo mke ya T