Mbaya sana,niliwahi kwenda hospital binafsi niko tight,dawa zipo bima ya afya bei chini,namshukuru Mungu pharmacia ananifahamu akanambia nitop up kiasi pungufu ili nihudumiwe,maana dawa zenyewe ni za kuchoma ,ilibidi nifanye hivyo
Ndiye mwasisi wa NK yaani baba wa Taifa
Ndiye babu wa dogo mapanki
Kim ananyoa panki kumuenzi tu na pia kujifananisha na ushujaa/ukatili wa babu yake
Hivyo ukistaahabu panki la mjukuu utaliona panki la babu
......
Mbaya sana,niliwahi kwenda hospital binafsi niko tight,dawa zipo bima ya afya bei chini,namshukuru Mungu pharmacia ananifahamu akanambia nitop up kiasi pungufu ili nihudumiwe,maana dawa zenyewe ni za kuchoma ,ilibidi nifanye hivyo