Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Ahahha mzoee tu we si shemela wangu lakiniMmeo yeye anaona wivu
Ahahha mzoee tu we si shemela wangu lakiniMmeo yeye anaona wivu
Nawe pia shemeji uwe na usiku mwemaJamaniiii usiku mwema
AhahhhhVP mkuu?! Umedondosha shilingi nn ?!
Kho Kho Kho Kho Kho KhoNilicho gundua japo sipendi kuonekana mbaguzi ila dini ni chanzo kikubwa cha umasiki wao
Nasema hivyo kwa kuwa tabia wanazo Fanya nyingi zinakuwa kama za warabu na hiyo hali niliikuta pwani , Lindi ,na Mtwara dar ipo ila wakuja wanawafanya mji uchangamke
MmmmhGame muhimu..
Sasa unataka mlane lini?
Shemeji huo ni ukweli japo najua watapingana na ninacho kijuaDuh imekuwa hivyo
SilaliiiNa kwako pia dada ulale unono
Umelewaa ??Woiiiiiiiiii bikra ya kuchorwa![]()
![]()
![]()
Na nyie jamaan mlale salama nakuja kuwapiga chaboWakuu..
Usiku mwema
AiseeAnaumwa aisee! Usitake kuniongezea matatizo..
Nilishamzoea tangu kipindi kile yuko porini anachoma mkaaAhahha mzoee tu we si shemela wangu lakini

SawaBaba D ebu acha ujue ni utani tu tunazogeza siku kapuku
Silaliii tenaaaaNawe pia shemeji uwe na usiku mwema