Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Bora huko wa mbali siwajui sio hapa jf hujui tuNdo utavumiliaaa mamaaa ...mm si nimewapendaa nyotee
Au unataka niendelee kwa wakina cheus na mmdogo wake ashura
Bora huko wa mbali siwajui sio hapa jf hujui tuNdo utavumiliaaa mamaaa ...mm si nimewapendaa nyotee
Au unataka niendelee kwa wakina cheus na mmdogo wake ashura
Mdogo wangu kapatwaHahaaa! Mbembeleza mdogo wako
Nimetoka kununua jamaan
Kabisaa Yaani... Hapana chezea double SNakupendea hapo nilipo upo![]()
unaweza hata kuua na kunyonga kwa ajili yangu dada
DuuRaha ya mke muwe wa nne
Mke mdogo anapendwa zaidi
.
.
Namuheshimu mke mkubwa!
Leo binamu ndio nitakapojua ukweliii unanipenda au ila kigamboni nitakufikiliaNakuunga mkono, hapa niko sambamba kabisa na wewe, asifanye hivyo. Mtaka mbili moja humponyoka bora atake yote asikose
AiseeeeTena kubwa sanaaaaaaa
Bhinamu ..najua nimekosea ila demi unamjuaa na nshakwambia ukwelii nifanyejee....eeh, sasa mbona unanitambulisha jioni wakati ndo unajua ile safari ya kiga imeiva, unaona sasa aunt yangu tayari keshanisemea mbovu na vitisho chekwa kuwa Kigamboni hakuendeki.
Hivi anko wangu unanitakia mema kweli wewe au ndo unataka kunitoa roho?
Ile laini kama umeivunja ntawapa ya landline ndo ujue huu utambulisho sikubaliani nao
Nipo nyuma yako hapa nachat na robotNdo naenda kwa paw
Whaaaat?Hahaha
T mume wangu mie nitafuta huu uzi wallah
AmeeenSimtambui mimi
Safari hakuna nimeshamaliza
Nakupenda baeDuuu
Wanaume ni...... Isipokuwa T wangu
Sawa dadaTwende kwa Paw
Safar kama kawaidaaNishaambiwa haipo, na viatu vyako nilikuwa nimechukua nikavibrush kabisa, ona sasa. Nakudai jero la kubrush viatu safari ikafa
Tutaenda wote naenda nae binamu...uzuri ni kuwa akiua au kunyonga kwa ajili yako, ataenda jela halafu wewe utakaa unakula kipupwe uraiani
Wewe ndo maji yangu babyNikuletee maji au?