shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Aisee, mpuuze tu na usijali anachokisemaMarafiki zangu naombeni mnisaidie kitu kimoja, kuna staff mwenzang ananinyanyasaga sana kazini wapendwa, karibia kila wakati, akileta kazi yake na matusi juu,nimevumilia lkn imefikia hatua nmechoka natamani hata kuacha kazi,nifanyeje basi jamani
Baadaye yeye ndio atajiona mjinga

