Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Akimaliza kifungo atakwambiaaYapi hayooo shem lakini
Akimaliza kifungo atakwambiaaYapi hayooo shem lakini
Huwa simjibu hata Mara moja ila Leo ndo nmemjibu tena nilimwambia ataninyanyasa hadi lini ama shida yake nn aseme hakujibu akaondokaNimesoma post zilizofuata
Kumbe siyo boss
Kitu rahisi akamchongee tu kwa boss akiona boss anamkingia Kifua basi achukulie ni changamoto tu Hivyo anaweza tu Kumuignore
Ukimfanyia mtu kinyume chake ataanza kuona huna habari naye
Mfano anakutukana/fokea kwa ukali wewe una kuwa mpole tu au kutomjibu Mwisho atajichokea mwenyewe
......
Hataniambia ujueAkimaliza kifungo atakwambiaa
Sema usaidiweeeNdio nashida nae mkuu!
Nimekujibuuu umeaminiiiHataniambia ujue
Ni busara nikamngoja mkuu it's personal issue.Sema usaidiweee
HujanijibuNimekujibuuu umeaminiii
Not yet derivedHujanijibu
Unajuaa unaongea na nani yakee ??Ni busara nikamngoja mkuu it's personal issue.
Haijalishi mkuu issue ikishaitwa personal its personal!Unajuaa unaongea na nani yakee ??
Wewe peleleza kwanza uhusiano wake na boss ujue kama boss labda ni "mtu wake" ...ukijua hana ukaribu wowote na boss basi kashtaki kwa boss atajua cha kukushauri au yeye mwenyewe kuchukua hatuaHuwa simjibu hata Mara moja ila Leo ndo nmemjibu tena nilimwambia ataninyanyasa hadi lini ama shida yake nn aseme hakujibu akaondoka
Ahsante sana nitalifanyia kaziWewe peleleza kwanza uhusiano wake na boss ujue kama boss labda ni "mtu wake" ...ukijua hana u karibu wowote na boss nasi kashtaki kwa boss atajua cha kukushauri au yeye mwenyewe kuchukua hatua
Km ni mtu wake yaani ana ukaribu na boss basi unatakiwa tu kuwa mpole na kutoufuata boss bali changamoto hiyo uikabili mwenyewe kwa kumpotezea tu
.........
Simu nimemnyanganya make kuna mambo sikuyaelewa kwenye simu yake

Kesho au keshokutwaaNdo maisha yenu hayoo
Haya atarudi lini
Bhas sahau kumuonaaHaijalishi mkuu issue ikishaitwa personal its personal!
AiseeNilimuuliza kaleta dharau kwa kumsamehe kutoivunja ikabidii nimnyanganyee
HayaKesho au keshokutwaa
ZitafikaaHaya
Ukienda home Msalimie sanaa