Makapuku Forum

Makapuku Forum

Marafiki zangu naombeni mnisaidie kitu kimoja, kuna staff mwenzang ananinyanyasaga sana kazini wapendwa, karibia kila wakati, akileta kazi yake na matusi juu,nimevumilia lkn imefikia hatua nmechoka natamani hata kuacha kazi,nifanyeje basi jamani
Tukusaidie kukushauri kisheria au kishikaji tu ?
Kamwe huwezi kupambana na boss ....utaumia
......

 
Anza kishikajiiii
Nimesoma post zilizofuata
Kumbe siyo boss
Kitu rahisi akamchongee tu kwa boss akiona boss anamkingia Kifua basi achukulie ni changamoto tu Hivyo anaweza tu Kumuignore
Ukimfanyia mtu kinyume chake ataanza kuona huna habari naye

Mfano anakutukana/fokea kwa ukali wewe una kuwa mpole tu au kutomjibu mwisho atajichokea mwenyewe
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom