Makapuku Forum

sijawasahau wote wanaopenda kuruka majoka, yaani wazee wa mitikisiko, kutikisa na kutikisana. Hebu tuburudike na muziki huu kwa udhamini mzuri wa Shunie

Anaitwa Chidinma mshindi wa Kora na mnaijeria anayefanya vizuri kwenye muziki wa vijana. utavutiwa naye kwa sauti nzuri na sauti yake tamu inaendana na uchezaji wake. Utampenda.

 
Shukrani bhinamuu
 
Asante Toz
 
Macho yanalia moyo unacheka
Binamu asanteee
 
Binamu asantee jamaan

Huu wimbo umfikie Baba D wangu popote alipo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…