Bitoz AsanteKisheria mtu huhukumiwa mara 1 au kushtakiwa mara 1 tu kwa kosa husika
Mtu yuleyule hawezi kamwe kuhukumiwa au kushtakiwa mara mbili kwa kosa lilelile katika mahakama zenye mamlaka yaleyale....Res Judicata
End
.........
HahahaRafiki yake sakayo
MmmmhDemi wanguuuu nakumisiiiii
Dada uyo ndugu yako ni nani jamaanAisee
JamaaaniiiiNimekuhamu ujue Baba D
tipo tipoTOP TEN
Week end inaendaje wanangu?
Kama vipi njooni Mabibo City Nite Club tule gambe wana....maisha yenyewe mafupi kama stuli !!
Kama kawaida Ijumaa tunamaliza week kiburudani au kiudakuudaku zaidi maana ndo mwendo wetu siasa zinachosha
Umaarufu bila pesa ni kazi bure au ukipenda sema ni kuuza sura tu
Kwa Bongo wanawake maceleb wenye mkwanja ambao unaeleweka ni Lady Jaydee(komando Jide} na Jokate Mwegelo {Kidoti) binti kutoka [Loyola High School inayopatikana Mabibo ndo alisoma hapo akiwa kama dada Mkuu(kiranja) pia aliwahi kutikisa Miss Tanzania
Sasa wana nawaletea wanawake kumi mashuhuri wenye mpunga wa maana huko mamtoni sana sana kwa Mzee Donald Trump
************************
Dola 1 ya USA= 2240 Tsh
***************************
Karibuni
........
Ni mdada mmoja kakuta hereni kwenye gari ya mumewe, mumewe anamwambia wafunge eti ni mauzauzaNi nani huyo sakayo ebu ukuje uniambie
Hahahh yaan we Bitoz6/Beyonce Knowles--Carter
Amezaliwa Septemba 4 1981
Huu ndo usingizi wa Jay Z....Kama huna mpenzi wala usione wivu tafuta hata bata ulale nae
Beyonce na Jay Z wamejaaliwa mtoto mmoja Blue Ivy ila pia ana ujauzito wa mapacha(keshajifungua ?)
Nyota yake ilianza kung'ara akiwa Spice Girls na akina Victoria Beckham{PoshSpice). Mel B na wengineo
Ana biashara kibao akishirikiana na Jay Z mbali ya kazi zake za kimuziki
Ana mkwanja unaofikia USD Bilioni 1 na usher
.......
[/b]
fundi sana huyu dada10/Angelina JolieNi mcheza filamu maarufu huko Hollywood nchini Marekani
Ni demu wa Brad Pitt na walijaaliwa hadi kupata mtoto/watoto pamoja yaani kitu kimelipa...pia wameasili watoto kutoka sehemu mbalimbali duniani ikiwepo kutoka Afrika
Kupitia filamu anaingiza mkwanja mrefu kama urefu wa treni ya Mwakyembe inayozurura huku Joto City
Ana mpunga unaokadiriwa kufikia USD 120 Milioni
.....
Vipiii tena Baba angu
sikuwa najua kama alipita Spice Girls6/Beyonce Knowles--Carter
Amezaliwa Septemba 4 1981
Huu ndo usingizi wa Jay Z....Kama huna mpenzi wala usione wivu tafuta hata bata ulale nae
Beyonce na Jay Z wamejaaliwa mtoto mmoja Blue Ivy ila pia ana ujauzito wa mapacha(keshajifungua ?)
Nyota yake ilianza kung'ara akiwa Spice Girls na akina Victoria Beckham{PoshSpice). Mel B na wengineo
Ana biashara kibao akishirikiana na Jay Z mbali ya kazi zake za kimuziki
Ana mkwanja unaofikia USD Bilioni 1 na usher
.......