Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Hee kumbe kaka yangu anaitwa kishetiDemi anakutafuta wee kisheti..

Hee kumbe kaka yangu anaitwa kishetiDemi anakutafuta wee kisheti..

Kumbe bunduki zina milio tofauti??!!Hiyo polisi akisikia mlio wake tuu anasepa !
Ukikutoa mpuuzi anayo ba anaijua vizuri ! Ni sekunde tuu anasafisha mtaa![]()
Yaani JF kingekuwa kijiji basi unamaliza chore kabisa yaani risasi mfululizo tu
Samtaimu uhalifu ni hobby tu
.....
kumbe hiyo kitu inatisha asee!!!!!!!!Babu alikuwa anapiga risasi mbili kwa mwakaToauti ipi?
Kuna mwingine anapita. So usijaliNzuriii kabisaaa japoo siku hizi asubh sikupitii ila usiofuu
Kumbe Bitoz uko na avatar matata hivyoNoma aisee
.....
Duuuu umeyajuaje yote hayoo?!Though kwenye Video hapo ni Ak-74 ambayo ni toleo la mwaka 1974 liloreplace tolea la mwaka 1947 ambazo kuna series pia Ak-47, AKMs
Hiyo ya kwenye video ni ndefu , nyepesi, ina Catridge dogo kidogo afu ina shoot range ya 100-1000m kwa adjustments..
Tofauti na Ak-47 ambayo inaishi a 350M ...
Simjui huyo mtu mbona???!!Mond anataka aaaa uwe wake et
![]()
![]()
![]()
![]()
Tulia utaelewaKunani kwani? Siwaelewi mjue
Anakuja now..
Wewe jamaa!
Demi is here already..!
oooh Lucifer saidia demi awe WiFi yanguAnakuja now..
Wewe jamaa!
Demi is here already..!
oooh Lucifer saidia demi awe WiFi yanguNi miongoni mwaoDuuuu umeyajuaje yote hayoo?!
Kunani kwani? Siwaelewi mjue

He kumbe ni wako!!Demi wanguuuu nakumisiiiii
Ha haaa hebu muulize vizuri.He kumbe ni wako!!
Kibiti ni kiboko yaaoo
Dogo wa ajabu sana yule .
Unaweza kukuta yupo kwenye zile nyuzi za kina nanii..![]()
