Makapuku Forum

Makapuku Forum

Though kwenye Video hapo ni Ak-74 ambayo ni toleo la mwaka 1974 liloreplace tolea la mwaka 1947 ambazo kuna series pia Ak-47, AKMs

Hiyo ya kwenye video ni ndefu , nyepesi, ina Catridge dogo kidogo afu ina shoot range ya 100-1000m kwa adjustments..

Tofauti na Ak-47 ambayo inaishi a 350M ...
Duuuu umeyajuaje yote hayoo?!
 
cc5a7a70c825b9001965e17a405bc36c.jpg
Kibiti ni kiboko yaaoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom